• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
NANYAMBA TOWN COUNCIL
NANYAMBA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Nanyamba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya MSM
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
        • katiba
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ununuzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliagi na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Fedha na Biashara
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Mazingira na Usafi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Elimu
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Michezo na Burudani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Sheria
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba
      • Maktaba ya picha
      • Maktaba ya video
    • Habari
    • Matukio

Huduma za Elimu

SEKTA YA ELIMU.

ELIMU MSINGI.

Halmashauri ya Mji Nanyamba ina shule za msingi 63 na shule tarajali 2.  Idadi ya wanafunzi ni 25,979 wakiwemo wavulana 12,862 na wasichana 13,117.   Idadi ya walimu ni 395 wakiwemo wanaume 287 na wanawake 108.  Kulingana na idadi ya wanafunzi 25,979   tunahitaji walimu 650 hivyo tuna upungufu wa walimu 255. 

Idadi ya wanafunzi na walimu wa Shule za Msingi.

Idadi ya Wanafunzi
Jumla
Idadi ya Walimu
Upungufu
Wav
Was
Mah.
Waliopo
 

12,862

13,117

25,979

650

395

255

Miundombinu ya shule za msingi

Madarasa

Nyumba za Walimu

Madawati



Mahitaji
Yaliyopo
Upungufu
Mahitaji
Zilizopo
Upungufu
Mahitaji
Zilizopo
Upungufu

572

392

180

512

118

394

8659

8702

+43


1864

1090

774

1714

303

1411

25737

25526

211













Matundu ya Vyoo

Walimu

Wanafunzi

Mahitaji 
Vilivyopo
Upungufu
Mahitaji 
Vilivyopo
Upungufu

130

22

108

953

632

321

326

122

204

3064

1667

1397

Matokeo  ya mitihani mwaka 2017

Matokeo ya mitihani ya shule za Msingi kwa kila Halmashauri

Darasa la Nne
Darasa la Saba
Waliofanya
Waliofaulu
%
Waliofanya
Waliofaulu
%
2797
2461
90.7
2376
1750
73.7
9,196
8,391
91.2
7,617
5,457
71.6

Miradi ya maendeleo katika sekta ya elimu msingi

Halmashauri ya Mji Nanyamba kupitia idara ya Elimu Msingi inaendelea na utekelezaji ujenzi wa miundombinu mbalimbali ikiwemo ujenzi wa madarasa, nyumba za walimu na matundu ya vyoo.  Miradi hii ipo kwenye hatua mbalimbali za utekelezaji kama inavyoonekana kwenye jedwali   hapa chini.

Miradi inayotekelezwa sekta ya elimu msingi

Jina la Mradi
Fedha Tengwa
Fedha Tolewa
Fedha Tumika
Utekelezaji
Ujenzi wa madarasa 3 S/Msingi CHIWILO
60,0000,000
60,0000,000
2,450,000.00
Hadi sasa tofali 1190 zimefyatuliwa na ujenzi upohatua ya msingi.
Ujenzi wa matundu 4 ya vyoo S/Msingi Chiwilo.
6,600,000
6,600,000
350,000.00
Uchimbaji wa shimo na ufyatuaji wa tofali unaendelea na tofali 420 zimefyatuliwa.
Ujenzi wa madarasa 4 S/Msingi Mikumbi
60,000,000
60,000,000
6,110,000.00
Hadi   sasa tofali  1650 zimefyatuliwa na upo hatua ya msingi.
Ujenzi wa matundu 4 ya vyoo S/Msingi Mikumbi
6,600,000
6,600,000
350,000.00
Uchimbaji wa shimo na ufyatuaji wa tofali unaendelea, tofali 370.
Ujenzi wa Uzio na jiko shule ya msingi Dinyecha
10,000,000
10,000,000
3,000,000.00
Kazi imeanza na tofali 450 zimefyatuliwa katika eneo la ujenzi.
Ujenzi miundombinu ya madarasa kwa kila kata kwa fedha za Mfuko wa Elimu katika kata 15
153,000,000
153,000,000
0.00
Kila kata imepata Tsh. 9,000,000.00 fedha zimepelekwa katika akaunti za shule husika, utekelezaji upo hatua mbalimbali.

   

ELIMU SEKONDARI 

Halmashauri ya Mji Nanyamba ina jumla ya shule za sekondari 10 ambazo zote ni za serikali zenye idadi ya wanafunzi 4,176 wakiwemo Wavulana  2050 na Wasichana 2126  na idadi ya walimu ni 215 wakiwemo Wanaume 165 na Wanawake  50.

 

Hali ya miundombinu katika shule za sekondari.

Hali ya miundombinu iliyopo, mahitaji na upungufu kwa kila aina ya miundombinu ni kama inavyoonekana katika jedwali hapo chini.

Miundombinu ya Shule.

NA
Miundo mbinu

Mahitaji

Yaliyopo

Upungufu

1

Vyumba vya madarasa

113

98

15

2

Nyumba za walimu

215

50

165

3

Majengo ya  utawala

10

5

5

4

Daharia (Hostel)

20

0

20

5

Matundu ya  vyoo vya wanafunzi

164

96

68

Matundu ya  vyoo vya walimu

20

24

4

6

Meza za  wanafunzi

4176

3376

800

7

Viti vya wanafunzi

4176

3376

800

8

Mabweni

4

0

4

 

 Miradi ya maendeleo katika sekta ya elimu sekondari

Halmashauri ya Mji Nanyamba inaendelea na utekelezaji wa miradi mbalimbali katika sekta ya Elimu Sekondari ikiwemo   ujenzi wa madarasa, nyumba za walimu na matundu ya vyoo, miradi hii ipo kwenye hatua mbalimbali za utekelezaji kama inavyoonekana kwenye jedwali hapo chini.

Miradi ya maendeleo katika sekta ya elimu ya sekondari

Jina la Mradi
Fedha Tengwa
Fedha Tolewa
Fedha Tumika
Utekelezaji
Ujenzi wa madarasa 2 shule ya Sekondari Mtiniko

12,000,000

12,000,000

4,059,000

Ujenzi upo hatua ya msingi kwa madarasa yote mawili na ujenzi unaendelea, ufyatuaji wa matofali 3000 umekamilika.
Ujenzi wa darasa 1 shule ya Sekondari Mbembaleo

6,000,000

6,000,000

2,280,000.

Ujenzi upo hatua ya msingi na ujenzi unaendelea, ufyatuaji wa matofali 1,500 umekamilika.
Ujenzi wa madarasa 2 Nitekela sekondari

12,000,000

12,000,000

3,250,000

Ujenzi upo hatua ya msingi na ujenzi unaendelea, ufyatuaji wa matofali 2,500 umekamilika
Ujenzi wa madarasa 2 Njengwa sekondari

12,000,000

12,000,000

1,680,000

Ununuzi wa vifaa vya ujenzi.
Ujenzi wa darasa 1 Mnima

6,000,000

6,000,000

1,600,000

Ufyatuaji wa matofali 1000 umekamilika.
Umaliziaji wa maabara 10

85,000,000

85,000,000

16,465,000

Mpango ni kumalizia ujenzi wa vyumba viwili vya maabara kwa kila shule. umaliziaji unaendelea katika hatua mbalimbali.
Ujenzi wa Bwalo na jiko katika shule ya sekondari Nanyamba.

60,000,000

60,000,000

5,750,000

Eneo limesafishwa, mchanga umekusanywa, mifuko 100 ya saruji, ufyatuaji wa matofali 6,200 tayari umeanza, Ujenzi upo hatua ya uchimbaji wa msingi.





Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO October 07, 2022
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA November 23, 2022
  • Fungua zote

Habari Mpya

  • KIMBILIO CHAKI

    November 23, 2022
  • VIJIJI VYA HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA VYANUFAIKA NA MRADI WA KUKU

    January 07, 2021
  • UZINDUZI WA BARAZA LA WAZEE WA HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA

    December 24, 2020
  • NANYAMBA SAFI

    November 25, 2020
  • Fungua zote

Video

Video zinginezo

Kurasa za karibu

  • Kupata Salary slip
  • Renovation of 17 AMREF Water Projects
  • Uuzaji wa Viwanja
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KATIKA SHULE MBALIMBALI ZA SEKONDARI-HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA 2022/2023

Kurasa Mashuhuri

  • Government Portal
  • PO - RAG
  • State House Website
  • Public Services Recruitment Secretariet
  • Tanzania Government Portal
  • Public Services Website

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahala

Wasiliana nasi

    NANYAMBA, MTWARA.

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 1490,

    Simu: +255

    Simu:

    Barua pepe: td@nanyambatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 Nanyambatc . All rights reserved.