• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
NANYAMBA TOWN COUNCIL
NANYAMBA TOWN COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji Nanyamba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya MSM
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
        • katiba
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ununuzi
      • Kitengo cha Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliagi na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Fedha na Biashara
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Mazingira na Usafi
      • Afya
      • Ujenzi
      • Maji
      • Elimu
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Michezo na Burudani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu mbalimbali
    • Sheria
    • Zabuni
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba
      • Maktaba ya picha
      • Maktaba ya video
    • Habari
    • Matukio

Afya

IDARA YA AFYA

Idara ya Afya ina jumla ya vituo 25 vya kutolea huduma za Afya. Ikiwa na jumla ya watumishi 77 sawa na 24% ya Ikama. Katika vituo hivyo kimoja ni Kituo cha Afya Nanyamba ambacho kinachomilikiwa na shirika la kidini, na 24 ni Zahanati zinamilikiwa na Serikali.

Vitengo ndani ya Idara

  • Chanjo (vaccination)
  • Ukimwi (HIV / AIDS)
  • Mama / baba / Mtoto (RCH)
  • Ustawi wa Jamii (Social welfare)
  • Bima ya Afya NHT & CHF
  • Maabara  (Labaratory)
  • Madawa (Phamacy)
  • Takwimu (DHIS)
  • Magonjwa aliokuwa hayapewi kipaumbele (NTD)
  • TB – (HIV)
  • TB – (Lepros)
  • Malaria

Kazi na Majukumu

  • Kusimamia kuhakikisha shughuli zote za utoaji huduma za Afya ndani ya Halmashauri zinatolewa kwa ubora ulioainishwa katika miongozo ya Wizara ya Afya
  • Kusambaza dawa, vifaa tiba katika vituo vya kutolea huduma za Afya.
  • Kubuni na kuratibu nyanzo vya mapato ndani ya Idara ya afya
  • Kusimamia ujenzi wa Zahanati na vituo vya kutolea huduma  za Afya ndani ya Halmashauri
  • Kuratibu shughuli za Afya Kinga
  • Kuratibu na kusimamia Afya ya namna na mtoto
  • Kutoa Elimu juu ya magonjwa ya kuambukizwa
  • Kutoa huduma juu ya magonjwa yatokanayo na Lishe sambaba na Elimu juu ya Afya za Lishe
  • Kusimamia miongozo yote iliyopitishwa kutumika na Wizara ya Afya Wazee Jinsia na Watoto

Matangazo

  • TANGAZO LA MIKOPO October 07, 2022
  • TANGAZO LA KAZI YA KUJITOLEA November 23, 2022
  • Fungua zote

Habari Mpya

  • KIMBILIO CHAKI

    November 23, 2022
  • VIJIJI VYA HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA VYANUFAIKA NA MRADI WA KUKU

    January 07, 2021
  • UZINDUZI WA BARAZA LA WAZEE WA HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA

    December 24, 2020
  • NANYAMBA SAFI

    November 25, 2020
  • Fungua zote

Video

Video zinginezo

Kurasa za karibu

  • Kupata Salary slip
  • Renovation of 17 AMREF Water Projects
  • Uuzaji wa Viwanja
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KATIKA SHULE MBALIMBALI ZA SEKONDARI-HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA 2022/2023

Kurasa Mashuhuri

  • Government Portal
  • PO - RAG
  • State House Website
  • Public Services Recruitment Secretariet
  • Tanzania Government Portal
  • Public Services Website

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahala

Wasiliana nasi

    NANYAMBA, MTWARA.

    Sanduku la Barua: P.O.BOX 1490,

    Simu: +255

    Simu:

    Barua pepe: td@nanyambatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 Nanyambatc . All rights reserved.